USAJILI: Man City yamsajili beki wa AS Monaco | mwanawakunyumba

Breaking News
Loading...

my ads

Monday, 24 July 2017

USAJILI: Man City yamsajili beki wa AS Monaco


Michezo

USAJILI: Man City yamsajili beki wa AS Monaco



Klabu ya Manchester City imemsajili beki wa AS Monaco, Benjamin Mendy  kwa pauni milioni 52.

Aliyekuwa beki wa timu ya AS Monaco akisaini kandarasi mpya na City
Mendy anakuwa beki wa tatu wa pembeni kusajiliwa na Kocha Pep Guardiola kwa ajili ya msimu ujao.

Mpaka sasa City imetumia pauni million 133 kusajili mabeki wa pembeni hali jambo ambalo limekuwa likiwashangaza wengi wadau wengi wa soka.

google+

linkedin

BONGOCLICK1blog
  • INAKULETEA NAFASI ZA MATANGAZO YA MASOMO KWA NGAZI ZOTE, NAFASI ZA KAZI KWA NGAZI ZOTE, HABARI MPYA NA PIA TUNATOA USHAURI NA KUPOKEA MATANGAZO YA KITAALUMA KAZI NA HABARI, WASILIANA NASI KUPITIA 0655065855 MATANGAZO YA TAALUMA KWA SH.5000 PER DAY AMBAPO LITAWAFIKIA ZAIDI YA WATU 100,000 KWA SIKU Read More

    0 comments:

    POST A COMMENT