Arsenal inaenda kuikaribisha timu ya leicester city katika uwanja wake wa nyumbani Emirates stadium siku ya kesho tar 11/8/2017, timu hizo zote mbili zitaingia uwanjani hapo bila wachezaji wao muhimu, katika timu ya arsenal wataenda kumkosa mchezaji wao mashuhuri kabisa Alexis Sanchez, Mesuit Ozil na Aaron Ramsey ambao walipata majeraha katika mechi dhidi ya chelsea. Na katika timu pinzani leicester city wataingia uwanjani hapo bila mchezaji wao playmaker Danny Drinkwater.Thursday, 10 August 2017
HUZUNI KUBWA KWA MASHABIKI WA ARSENAL
Published Under
MICHEZO
Arsenal inaenda kuikaribisha timu ya leicester city katika uwanja wake wa nyumbani Emirates stadium siku ya kesho tar 11/8/2017, timu hizo zote mbili zitaingia uwanjani hapo bila wachezaji wao muhimu, katika timu ya arsenal wataenda kumkosa mchezaji wao mashuhuri kabisa Alexis Sanchez, Mesuit Ozil na Aaron Ramsey ambao walipata majeraha katika mechi dhidi ya chelsea. Na katika timu pinzani leicester city wataingia uwanjani hapo bila mchezaji wao playmaker Danny Drinkwater.BONGOCLICK1blog
INAKULETEA NAFASI ZA MATANGAZO YA MASOMO KWA NGAZI ZOTE, NAFASI ZA KAZI KWA NGAZI ZOTE, HABARI MPYA NA PIA TUNATOA USHAURI NA KUPOKEA MATANGAZO YA KITAALUMA KAZI NA HABARI, WASILIANA NASI KUPITIA 0655065855 MATANGAZO YA TAALUMA KWA SH.5000 PER DAY AMBAPO LITAWAFIKIA ZAIDI YA WATU 100,000 KWA SIKU Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
POST A COMMENT