HUZUNI KUBWA KWA MASHABIKI WA ARSENAL | mwanawakunyumba

Breaking News
Loading...

my ads

Thursday, 10 August 2017

HUZUNI KUBWA KWA MASHABIKI WA ARSENAL

LONDON, ENGLAND - AUGUST 06: Alexis Sanchez of Arsenal applauds the Arsenal fans during the The FA Community Shield between Chelsea and Arsenal at Wembley Stadium on August 6, 2017 in London, England.  (Photo by Robbie Jay Barratt - AMA/Getty Images)Arsenal inaenda kuikaribisha timu ya leicester city katika uwanja wake wa nyumbani Emirates stadium siku ya kesho tar 11/8/2017, timu hizo zote mbili  zitaingia uwanjani hapo bila wachezaji wao muhimu, katika timu ya arsenal wataenda kumkosa mchezaji wao mashuhuri kabisa Alexis Sanchez, Mesuit Ozil na Aaron Ramsey ambao walipata majeraha katika mechi dhidi ya chelsea. Na katika timu pinzani leicester city wataingia uwanjani hapo bila mchezaji wao playmaker Danny Drinkwater.

google+

linkedin

BONGOCLICK1blog
  • INAKULETEA NAFASI ZA MATANGAZO YA MASOMO KWA NGAZI ZOTE, NAFASI ZA KAZI KWA NGAZI ZOTE, HABARI MPYA NA PIA TUNATOA USHAURI NA KUPOKEA MATANGAZO YA KITAALUMA KAZI NA HABARI, WASILIANA NASI KUPITIA 0655065855 MATANGAZO YA TAALUMA KWA SH.5000 PER DAY AMBAPO LITAWAFIKIA ZAIDI YA WATU 100,000 KWA SIKU Read More

    0 comments:

    POST A COMMENT