Paul Pogba aliumia mapema mwanzo wa mwezi huu wakati wa mchezo wa UEFA Champions League kati ya Man United dhidi ya FC Basel, kwa mujibu wa doctor Sakari Orava anayemsimamia Pogba na kuhakikisha anarudi kuwa sawa, anadai staa huyo bado hajafanyiwa upasuaji.
Staa huyo wa Man United ambaye ni moja kati ya wachezaji muhimu katika kikosi cha Man United, hadi sasa baada ya kuumia Pogba amekosa michezo ya Ligi Kuu England dhidi ya Everton, Southampton na mchezo wa Kombe la Ligi dhidi ya Burton Albion.
0 comments:
POST A COMMENT