ZINAPOTOKA PESA ZA SHETA ZA KULIA BATA | mwanawakunyumba

Breaking News
Loading...

my ads

Monday, 24 July 2017

ZINAPOTOKA PESA ZA SHETA ZA KULIA BATA



Msanii wa Bongo Flava, Shetta ametaja sehemu anapopata fedha za kuendesha maisha yake hasa katika kipindi alichokuwa kimya kimuziki.

Shetta ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Wale wale’, amesema yeye hana fedha nyingi kama watu wanavyodhani na kiasi alichonancho kinatosheleza maisha yake tu.

“Mimi ni chawa kwa matajiri nikiwa na shida namcheki boss Mo, au matajiri ambao nimetengeneza ukaribu nao na mwisho wa siku mambo yangu yanaenda,” Shetta ameiambia Planet Bongo ya EA Radio.
Msanii huyo ameenda mbali zaidi kwa kusema si kweli kuwa fedha zake anazipata kutokana na biashara ya dawa za kulevya, na kueleza kuwa angekuwa anafanya hivyo nae angetajwa katika orodha ya watuhumiwa wa biashara hiyo haramu.

google+

linkedin

BONGOCLICK1blog
  • INAKULETEA NAFASI ZA MATANGAZO YA MASOMO KWA NGAZI ZOTE, NAFASI ZA KAZI KWA NGAZI ZOTE, HABARI MPYA NA PIA TUNATOA USHAURI NA KUPOKEA MATANGAZO YA KITAALUMA KAZI NA HABARI, WASILIANA NASI KUPITIA 0655065855 MATANGAZO YA TAALUMA KWA SH.5000 PER DAY AMBAPO LITAWAFIKIA ZAIDI YA WATU 100,000 KWA SIKU Read More

    0 comments:

    POST A COMMENT