ALICHOKISEMA NEYMAR JR KUHUSIANA NA USAJILI WAKE MPYA | mwanawakunyumba

Breaking News
Loading...

my ads

Monday, 24 July 2017

ALICHOKISEMA NEYMAR JR KUHUSIANA NA USAJILI WAKE MPYA

Mshambuliaji wa Timu ya taifa ya Brazili na klabu ya  Barcelona, Neymar mwenye umri wa miaka 25, amewaambia wachezaji wenzake, Lionel Messi na Luis Suarez, kuwa atabakia Barca baada ya wawili hao kumshawishi kutojiunga na Paris Saint-Germain kwa uhamisho utakaovunja rekodi ya dunia wa pauni milioni 200. (Sport)

Mshambuliaji wa Timu ya taifa ya Brazili na klabu ya  Barcelona, Neymar
Mchezaji wa timu ya taifa ya Ureno na klabu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo amemtaka Neymar kutohamia PSG na kusubiri kwenda Manchester United wakati utakapowadia. (Diario Gol)

google+

linkedin

BONGOCLICK1blog
  • INAKULETEA NAFASI ZA MATANGAZO YA MASOMO KWA NGAZI ZOTE, NAFASI ZA KAZI KWA NGAZI ZOTE, HABARI MPYA NA PIA TUNATOA USHAURI NA KUPOKEA MATANGAZO YA KITAALUMA KAZI NA HABARI, WASILIANA NASI KUPITIA 0655065855 MATANGAZO YA TAALUMA KWA SH.5000 PER DAY AMBAPO LITAWAFIKIA ZAIDI YA WATU 100,000 KWA SIKU Read More

    0 comments:

    POST A COMMENT