MRITHI WA NEYMA JR KATIKA KLABU YA BARCELONA | mwanawakunyumba

Breaking News
Loading...

my ads

Thursday, 27 July 2017

MRITHI WA NEYMA JR KATIKA KLABU YA BARCELONA


Klabu ya Barcelona ya nchini Hispania inampango wa kumsajili kiungo mshambuliaji wa Liverpool na timu ya taifa ya Brazili, Philippe Coutinho.

Mchezaji wa Liverpool, Philippe Coutinho

Barcelona inataka kumsajili Coutinho mwenye umri wa miaka 25, ili kuchukua nafasi ya Neymar ambaye ana asilimia 90 za kuondoka na kujiunga na matajiri wa Ufaransa klabu ya Paris Saint-Germain kwa usajili utakao weka rekodi ya dunia.
Liverpool inahitaji dau la pauni milioni 72 ili kumuachia mchezaji huyo ambaye amefunga jumla ya magoli 13 na kutoa pasi 31 zilizochangia upatikanaji wa magoli.

google+

linkedin

BONGOCLICK1blog
  • INAKULETEA NAFASI ZA MATANGAZO YA MASOMO KWA NGAZI ZOTE, NAFASI ZA KAZI KWA NGAZI ZOTE, HABARI MPYA NA PIA TUNATOA USHAURI NA KUPOKEA MATANGAZO YA KITAALUMA KAZI NA HABARI, WASILIANA NASI KUPITIA 0655065855 MATANGAZO YA TAALUMA KWA SH.5000 PER DAY AMBAPO LITAWAFIKIA ZAIDI YA WATU 100,000 KWA SIKU Read More

    0 comments:

    POST A COMMENT