Baada ya masaa machache Leo June 10 Vanessa Mdee ametambulisha wimbo wake mpya ambao amemshirikisha msanii wa Nigeria Peter Okoye wa kundi la P-Square. Wimbo wake huo mpya unaitwa ‘Kisela’ Vanessa Mdee ameeleza alivyoipata collabo hiyo.
Mwanadada huyoo alifunguka kwa kusema yafuatayo
Nilikuwa hotelini naingiza melodies zangu akaja PeterPsquare wa P Square na akaniomba kuingiza verse zake' ,'Nilishangaa na kufurahi kwasababu sikupata tabu ya kuanza kuomba collabo kubwa kama hii.
Alimaliza kwa kusema hayoooooooooooooooo, keep it up bibie.
0 comments:
POST A COMMENT