Baada ya Zari ambae ni Mama watoto wa mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz kufiwa na Mama yake mzazi na picha za msiba kusambaa, baadhi ya watu walianza kucomment na kupost kwenye Instagram na kusema ni msiba lakini Zari hajaonekana na sura ya majonzi.
Staa huyo alisema yafuatayo
“Fanya chochote ila usiache kulia msibani, hawa Wabongo wanahesabu hadi machozi na high tone na low tone za mlio wa Mfiwa, utasikia pale amepanda key yupo soprano anakuja base sasa hivi then sauti ya 3
0 comments:
POST A COMMENT